• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Utaratibu wa kumilikishwa ardhi


                                                                                                                   

YAH: MAHITAJI YANAYOTAKIWA KAMA VIAMBATANISHO ILI KUWEZA KUKAMILIKA KWA UANDAAJI WA HATIMILIKI ZA VIWANJA VILIVYOPIMWA

Kutokana na kuwepo kwa tatizo la wahitaji wengi wa Hatimiliki kutokuwasilisha nyaraka/viambatanisho vinavyotakiwa katika uandaaji wa hatimiliki zao, tatizo ambalo limekuwa mojawapo ya sababu za ucheleweshaji wa hatimiliki zao, ofisi imeamua kuorodhesha hapa chini mahitaji muhimu yanayotakiwa kuwasilishwa kwa waombaji wote wa Hatimiliki za viwanja/mashamba yaliyopimwa.


1.KWA MMILIKI MMOJA MMOJA

i.Barua ya kuomba kumilikishwa kiwanja

ii.Picha sita(6) za passport size

iii.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za uthibitisho wa uraia (Kitambulisho cha Uraia/Cheti za Kuzaliwa/Passport ya Kusafiria)

iv.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za Uthibitisho wa umiliki wa kiwanja (Mkataba wa kununua kiwanja/Muhtasari wa Halmashauri ya Kijiji au Mtaa)


2.KWA KAMPUNI YA KITANZANIA

i.Barua ya kuomba kumilikishwa kiwanja

ii.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za Uthibitisho wa umiliki wa kiwanja (Mkataba wa kununua kiwanja/Muhtasari wa Halmashauri ya Kijiji au Mtaa)

iii.Nakala mbili (2) halisi za Memorandom and Article of Associationya Kampuni

iv.Nakala mbili (2) halisi za Certificate of Incorportionya Kampuni

v.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za uthibitisho wa uraia za wakurugenzi wa Kampuni husika (Kitambulisho cha Uraia/Cheti za Kuzaliwa/Passport ya Kusafiria)


3.KWA KAMPUNI ISIYO YA KITANZANIA

i.Barua ya kuomba kumilikishwa kiwanja

ii.Nakala mbili(2) halisi za Certificate of Incentives kutoka TIC

iii.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za Uthibitisho wa umiliki wa kiwanja (Mkataba wa kununua kiwanja/Muhtasari wa Halmashauri ya Kijiji au Mtaa)

iv.Nakala mbili (2) halisi za Memorandom and Article of Associationya Kampuni

v.Nakala mbili (2) halisi za Certificate of Incorportionya Kampuni

vi.Nakala mbili (2) halisi (Certified Copies) za uthibitisho wa uraia za wakurugenzi wa Kampuni husika (Kitambulisho cha Uraia/Cheti za Kuzaliwa/Passport ya Kusafiria)











Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.